Back to Top

Abbih Nguma - Siku yetu Lyrics



Abbih Nguma - Siku yetu Lyrics




Sekunde zimekuwa kama saa
Mufa unazidi kusonga, raciki na jamaa wamefika
Mapenzi wangu uko wapi,
Bora nimpigie simu, ujue kilichotokea
Amekwisha badilisha nia, ujue tuu

Baby ninakingojea mammie
Usiniwekee, usinitie aibu

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo, ni siku ya furaha

Naskia kelele za magari, umeshafika mke wangu
Nimekungoja sana
Ile smile napenda naiona, ule mwendo ulionizutia
Ni githaa, ni githaa zimekubali
Njoo njoo uwe wangu, na'mi niwe wako
Sasa unachalewa, unampango gani

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo ni siku ya furaha
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Sekunde zimekuwa kama saa
Mufa unazidi kusonga, raciki na jamaa wamefika
Mapenzi wangu uko wapi,
Bora nimpigie simu, ujue kilichotokea
Amekwisha badilisha nia, ujue tuu

Baby ninakingojea mammie
Usiniwekee, usinitie aibu

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo, ni siku ya furaha

Naskia kelele za magari, umeshafika mke wangu
Nimekungoja sana
Ile smile napenda naiona, ule mwendo ulionizutia
Ni githaa, ni githaa zimekubali
Njoo njoo uwe wangu, na'mi niwe wako
Sasa unachalewa, unampango gani

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo, ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka mammie
Leo ni siku ya furaha

Siku yetu imefika, wati wote wamedunga
Ushuhuda tunaweka baby
Leo ni siku ya furaha
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Abbih Nguma
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid

Back to: Abbih Nguma



Abbih Nguma - Siku yetu Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Abbih Nguma
Language: English
Length: 3:40
Written by: Abbih Nguma

Tags:
No tags yet