Back to Top

Anyasi Ekhuya - Omwami Njerera Lyrics



Anyasi Ekhuya - Omwami Njerera Lyrics
Official




Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nikiwa gizani, nakuona wewe
Nguzo yangu kwenye dhoruba
Daima upo nami, Bwana wangu
Mwanga wangu nikiwa gizani
Mwokozi wa maisha yangu
Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nakutukuza daima, Mfalme wangu
Mimi mpotevu, katika ulimwengu huu
Siyawezi maisha haya ya dhambi
Ninakuhitaji ewe Yesu
Kila siku, kila saa, Bwana wangu
Kwako Bwana ninarejea
Mikono yako inanipokea
Katika neema yako nisafishe
Nakuabudu daima, Yesu wangu
Mwanga wangu nikiwa gizani
Mwokozi wa maisha yangu
Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nakutukuza daima, Mfalme wangu
Kwako Bwana ninarejea
Ewe Yesu, mwanga wangu
Omwami wanje njerera
Uli obulamu bwanje
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Swahili

Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nikiwa gizani, nakuona wewe
Nguzo yangu kwenye dhoruba
Daima upo nami, Bwana wangu
Mwanga wangu nikiwa gizani
Mwokozi wa maisha yangu
Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nakutukuza daima, Mfalme wangu
Mimi mpotevu, katika ulimwengu huu
Siyawezi maisha haya ya dhambi
Ninakuhitaji ewe Yesu
Kila siku, kila saa, Bwana wangu
Kwako Bwana ninarejea
Mikono yako inanipokea
Katika neema yako nisafishe
Nakuabudu daima, Yesu wangu
Mwanga wangu nikiwa gizani
Mwokozi wa maisha yangu
Yesu, wewe ndiwe mwanga wangu
Nakutukuza daima, Mfalme wangu
Kwako Bwana ninarejea
Ewe Yesu, mwanga wangu
Omwami wanje njerera
Uli obulamu bwanje
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
Omwami wanje njerera
Njerera
Njerera
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Anyasi Ekhuya
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid

Back to: Anyasi Ekhuya



Performed By: Anyasi Ekhuya
Language: Swahili
Length: 2:51
Written by: Anyasi Ekhuya
[Correct Info]
Tags:
No tags yet