Back to Top

Ben Pol - Why Lyrics



Ben Pol - Why Lyrics
Official




[ Featuring Joh Makini ]

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah

Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo hajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Makaa kwa nyumbani yangu wakiparty no
Waka moshi unavuma juu ndani ni pamoto

Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege

Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee

Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo

Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege

Yele zele zele.
Yele zele zele
Yele yele zele
Zele zele zele
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah

Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo hajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Makaa kwa nyumbani yangu wakiparty no
Waka moshi unavuma juu ndani ni pamoto

Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege

Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee

Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo

Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege

Yele zele zele.
Yele zele zele
Yele yele zele
Zele zele zele
[ Correct these Lyrics ]
Writer: JAMES SAMUEL III HARRIS, JAMES HARRIS III, LARON JAMES, TERRY LEWIS, USHER RAYMOND, ROGE SHAMOND LEWIS
Copyright: Lyrics © BMG Rights Management, O/B/O DistroKid, Sony/ATV Music Publishing LLC, Songtrust Ave, Kobalt Music Publishing Ltd., Warner Chappell Music, Inc.

Back to: Ben Pol



Ben Pol - Why Video
(Show video at the top of the page)

Tags:
No tags yet