Back to Top

Diamond Platnumz - Niache Lyrics



Diamond Platnumz - Niache Lyrics
Official




Hhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Ooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhm)

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache...!
Niache...!
Niaache...! Oh Niache
Niache...!
Nipambane na moyo wangu
Niache...! (Niiaa...!)
Niache...! (Moyo wangu una hasira)
Niaache...! Oh Niache
Niache...!
Ooh Oh!

Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Hhhhmm
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Hhhm
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

Niache...! Ooh Niachee
Niache...! (Mimi moyo wangu una hasira)
Niache...! (Tena ukae mbali)
Niache...! (Ooh Niache)
Niache...! (Usiwapigie rafiki zangu)
Niache...! (Usithubutu hata simu yangu)
Niache...! (Chonde tafadhali)
Niache...! (Niiaa...!)

Iyoo Lizer
Hhmm
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudanganya kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Mfyuu
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Hhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Ooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhm)

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache...!
Niache...!
Niaache...! Oh Niache
Niache...!
Nipambane na moyo wangu
Niache...! (Niiaa...!)
Niache...! (Moyo wangu una hasira)
Niaache...! Oh Niache
Niache...!
Ooh Oh!

Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Hhhhmm
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Hhhm
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani

Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

Niache...! Ooh Niachee
Niache...! (Mimi moyo wangu una hasira)
Niache...! (Tena ukae mbali)
Niache...! (Ooh Niache)
Niache...! (Usiwapigie rafiki zangu)
Niache...! (Usithubutu hata simu yangu)
Niache...! (Chonde tafadhali)
Niache...! (Niiaa...!)

Iyoo Lizer
Hhmm
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudanganya kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Mfyuu
[ Correct these Lyrics ]




Diamond Platnumz - Niache Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Diamond Platnumz
Length: 3:59

Tags:
No tags yet