Back to Top

Harmonize - Jeshi Lyrics



Harmonize - Jeshi Lyrics




Sometimes what you dream
Can be deceiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving

Ghetto sikuwa na umeme wala cable
Hizi moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang lebo

Siku zote kisicho kuua
Kitakufanya uwe ngangari
Ata mwanga huwezi kumjua
So ishi nao kwa tahadhari

My sister, siku hizi shape wananunua
We pambana upate salary
Ila usisahau pesa maua
So ukikosa hata usijali

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa master na rita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi, konde boy Jeshi
Tena siku hizi wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo
Jeshi, konde boy Jeshi
Yaani wanangu wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Mi naamini Mungu yupo tena
Naongea nae japo sisikii sauti yake
Nikianguka ntainuka tena
So usishangae why tembo anahustle peke yake

Coz I know, unapokiokota
Ndo wakati wakukitunza
Ili kesho kisije potea
Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
Ni wapi ulipokosea
Sio kama siwezi kujibizana
Ila mwenzenu nimeumbwa na subira

Cheki madili yanavyogogana
Coz nina nyota ya Libra
Nbona siwaoni walotumwa kunitukana
Vichwa vyao kimya
Tena siku hizi siimbi sana
Wacha washindane na Ibrah

I say one love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa master na rita
Mlinifanya hasira zizidii
Four loνe njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi, konde boy Jeshi
Tena siku hizi wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo
Jeshi, konde boy Jeshi
Yaani wanangu wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Konde boy...

LYRICS PUBLISHED BY: PROMOTER MUSA
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Sometimes what you dream
Can be deceiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving

Ghetto sikuwa na umeme wala cable
Hizi moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang lebo

Siku zote kisicho kuua
Kitakufanya uwe ngangari
Ata mwanga huwezi kumjua
So ishi nao kwa tahadhari

My sister, siku hizi shape wananunua
We pambana upate salary
Ila usisahau pesa maua
So ukikosa hata usijali

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa master na rita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi, konde boy Jeshi
Tena siku hizi wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo
Jeshi, konde boy Jeshi
Yaani wanangu wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Mi naamini Mungu yupo tena
Naongea nae japo sisikii sauti yake
Nikianguka ntainuka tena
So usishangae why tembo anahustle peke yake

Coz I know, unapokiokota
Ndo wakati wakukitunza
Ili kesho kisije potea
Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
Ni wapi ulipokosea
Sio kama siwezi kujibizana
Ila mwenzenu nimeumbwa na subira

Cheki madili yanavyogogana
Coz nina nyota ya Libra
Nbona siwaoni walotumwa kunitukana
Vichwa vyao kimya
Tena siku hizi siimbi sana
Wacha washindane na Ibrah

I say one love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa master na rita
Mlinifanya hasira zizidii
Four loνe njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi, konde boy Jeshi
Tena siku hizi wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo
Jeshi, konde boy Jeshi
Yaani wanangu wananiita tembo
Jeshi, hata we ni Jeshi
Yaani kama una pigo za kirembo

One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Konde boy...

LYRICS PUBLISHED BY: PROMOTER MUSA
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Rajab Abdul Kahali
Copyright: Lyrics © Promoter Musa, PM Music Publishing Ltd

Back to: Harmonize



Harmonize - Jeshi Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Harmonize
Length: 3:37
Written by: Rajab Abdul Kahali

Tags:
No tags yet