Back to Top

Kiboko (Remix) Video (MV)




Performed By: Masauti
Language: Swahili
Length: 3:43




Masauti - Kiboko (Remix) Lyrics
Official




Masauti
Khaligraph Jones
Kenyan boy
It's going down

Yaaani toto kiboko
Yaaani toto kiboko
Yaaani toto kiboko

Eeey napenda venye unavyodunda
Ukitembea unafanya nikutake take
Kweli Mola kakuumba unateketea
Vile uko lit lazima nikukate
Sijui ka uko na copy(eeh)
Ya mimi ni nani
Mitaani waniita OG
Unataka vipi Atoti

Iko vipi
Kwani we ni mgeni hapa Nairobi
Na jinsi anavyo ligidi ligidi
Kana kwamba anaifanya ka digiri ana digiri
Ukichikidi chikidi ana digidi digidi
Mashore wengine sai ni tbt tbt (sare)

Mtoto kiboko
Eeh ahh kiboko
Huyu mtoto
Kiboko kiboko yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani Kiboko

Nitadunga suti na tai
Nimfwate nimnong'oneze
Nimwambie ye ndo nadai
Ananipa mi mawenge (hello shawty)
Toto la kinai roho body
Uswazi kote ye ndo ametawala
Sioni noma yaani mbona soul body
Akinipa sikatai mimi nakwala
Figure kama mjaka
Yaani balaa nyuma vigirigi
Kwa shanga kiunoni nasimama
Wima mpaka alfajiri
Figure kama mjaka
Yaani balaa nyuma vigirigi
Kwa shanga kiunoni nasimama
Wima mpaka alfajiri
Mtoto high class
Nywele singa singa kimahaga (ni mkare)
Yaani working class bila kusita nang'oa nanga
Yaani mtoto high class
Nywele singa singa kimahaga (ni mkare)
Yaani working class bila kusita nang'oa nanga (si usare)

Mtoto kiboko
Eeh ahh kiboko
Huu mtoto kiboko kiboko yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko

Check it ee ju already tusha nokiana
Lenga huyo boy ata moti hana
We ni kiboko tunaeza sosiana
So go ahead and bust it down thotiana
Ey we ndo kiboko
Kuja international toka local
Am the hottest rapper right now kwa soko
And rich too bad boy si msoto
Haha oooh lord you entice me
And me backing down so unlikely
No sidechiq I'll make you my wifey
Masauti vipi they can't do it like we

Unavyo Katika Shiro
Nyuma ulivyoshona Doro
Nikikupata kwa godoro
(Hhmm weeh kiboko)
Unavyo Katika Shiro
Nyuma ulivyoshona Doro
Nikikupata kwa godoro
(Hhmm mama kiboko)

Ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani Kiboko
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Romanized

Masauti
Khaligraph Jones
Kenyan boy
It's going down

Yaaani toto kiboko
Yaaani toto kiboko
Yaaani toto kiboko

Eeey napenda venye unavyodunda
Ukitembea unafanya nikutake take
Kweli Mola kakuumba unateketea
Vile uko lit lazima nikukate
Sijui ka uko na copy(eeh)
Ya mimi ni nani
Mitaani waniita OG
Unataka vipi Atoti

Iko vipi
Kwani we ni mgeni hapa Nairobi
Na jinsi anavyo ligidi ligidi
Kana kwamba anaifanya ka digiri ana digiri
Ukichikidi chikidi ana digidi digidi
Mashore wengine sai ni tbt tbt (sare)

Mtoto kiboko
Eeh ahh kiboko
Huyu mtoto
Kiboko kiboko yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani Kiboko

Nitadunga suti na tai
Nimfwate nimnong'oneze
Nimwambie ye ndo nadai
Ananipa mi mawenge (hello shawty)
Toto la kinai roho body
Uswazi kote ye ndo ametawala
Sioni noma yaani mbona soul body
Akinipa sikatai mimi nakwala
Figure kama mjaka
Yaani balaa nyuma vigirigi
Kwa shanga kiunoni nasimama
Wima mpaka alfajiri
Figure kama mjaka
Yaani balaa nyuma vigirigi
Kwa shanga kiunoni nasimama
Wima mpaka alfajiri
Mtoto high class
Nywele singa singa kimahaga (ni mkare)
Yaani working class bila kusita nang'oa nanga
Yaani mtoto high class
Nywele singa singa kimahaga (ni mkare)
Yaani working class bila kusita nang'oa nanga (si usare)

Mtoto kiboko
Eeh ahh kiboko
Huu mtoto kiboko kiboko yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko

Check it ee ju already tusha nokiana
Lenga huyo boy ata moti hana
We ni kiboko tunaeza sosiana
So go ahead and bust it down thotiana
Ey we ndo kiboko
Kuja international toka local
Am the hottest rapper right now kwa soko
And rich too bad boy si msoto
Haha oooh lord you entice me
And me backing down so unlikely
No sidechiq I'll make you my wifey
Masauti vipi they can't do it like we

Unavyo Katika Shiro
Nyuma ulivyoshona Doro
Nikikupata kwa godoro
(Hhmm weeh kiboko)
Unavyo Katika Shiro
Nyuma ulivyoshona Doro
Nikikupata kwa godoro
(Hhmm mama kiboko)

Ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani kiboko
Sijamuona kama ye! ye! ye! Yaani Kiboko
[ Correct these Lyrics ]

Back to: Masauti

Tags:
No tags yet