Back to Top

Mwema Video (MV)




Performed By: Mercy Masika
Language: Swahili
Length: 3:52




Mercy Masika - Mwema Lyrics
Official




Wako mwana ukamtuma, duniani
Kisa na maana nipate uzima jamani
Wako mwana ukamtuma, duniani
Kisa na maana nipate uzima jamani

Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivyo nishaelewa sifa nitakupa zaidi
Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivyo nishaelewa sifa nitakupa zaidi

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu

Umenitoa gizani, nilipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaini, kwako nikajificha
Sasa nitakupa nini, iwe sawa na yale umenitenda?
Hakuna ila moyoni, sifa nitakuimbia

Ilikugharimu, msalabani unifie
Hivyo inanibidi, sifa nikuimbie
Wema wako niseme, ili na wengine wakujue
Wote waungane nami, na wazee ishirini na nne

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Romanized

Wako mwana ukamtuma, duniani
Kisa na maana nipate uzima jamani
Wako mwana ukamtuma, duniani
Kisa na maana nipate uzima jamani

Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivyo nishaelewa sifa nitakupa zaidi
Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivyo nishaelewa sifa nitakupa zaidi

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu

Umenitoa gizani, nilipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaini, kwako nikajificha
Sasa nitakupa nini, iwe sawa na yale umenitenda?
Hakuna ila moyoni, sifa nitakuimbia

Ilikugharimu, msalabani unifie
Hivyo inanibidi, sifa nikuimbie
Wema wako niseme, ili na wengine wakujue
Wote waungane nami, na wazee ishirini na nne

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu

Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
[ Correct these Lyrics ]

Back to: Mercy Masika

Tags:
No tags yet