Back to Top

Sauti Sol - Sura Yako Lyrics



Sauti Sol - Sura Yako Lyrics
Official




Nimekuchagua wewe, Nikupende,
Mama, Sitaki mwingine,
I wish usiniache, Usinitende,
Mama, Usipende mwingine,
Moyo wangu ni mwepesi,
Umenikalia chapati,
Nafanya vituko kama chizi,
Kukupenda sitasizi,
Moyo wangu ni mwepesi,
Umenikalia chapati,
Nafanya vituko kama chizi,
Kukupenda sitasizi.

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)

Itabidi nikulinde, nikutunze,
Mama, Usikose lolote,
Pete nayo nikuvishe, Nikuoe,
Mama, Usiende popote,
Juu moyo wangu ushakubali,
Umenikalia chapati,
Nitakulinda kama polisi, Eh!
Itabidi nikumarry,
Moyo wangu ushakubali,
Umenikalia chapati,
Nitakulinda kama polisi, Eh!
Itabidi nikumarry,

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na figure yako kama ya chupa, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na sura yako mzuri mama, aaah
(Mzuri mama, mzuri mama)

Piga dansi kidogo,
Piga da, piga Dansi kidogo,
Dansi kidogo,
Piga da, piga dansi kidogo.
Dansi kidogo,
Piga da, piga dansi kidogo.
Dansi kidogo...

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
(Mzuri mama, mzuri mama, aaah)
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)

Piga dansi kidogo,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na figure yako kama ya chupa, ah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, ah
(Mzuri mama, mzuri mama)
Ni wewe ni we
Ni wewe ni we
Ni wewe ni we
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Nimekuchagua wewe, Nikupende,
Mama, Sitaki mwingine,
I wish usiniache, Usinitende,
Mama, Usipende mwingine,
Moyo wangu ni mwepesi,
Umenikalia chapati,
Nafanya vituko kama chizi,
Kukupenda sitasizi,
Moyo wangu ni mwepesi,
Umenikalia chapati,
Nafanya vituko kama chizi,
Kukupenda sitasizi.

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)

Itabidi nikulinde, nikutunze,
Mama, Usikose lolote,
Pete nayo nikuvishe, Nikuoe,
Mama, Usiende popote,
Juu moyo wangu ushakubali,
Umenikalia chapati,
Nitakulinda kama polisi, Eh!
Itabidi nikumarry,
Moyo wangu ushakubali,
Umenikalia chapati,
Nitakulinda kama polisi, Eh!
Itabidi nikumarry,

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na figure yako kama ya chupa, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na sura yako mzuri mama, aaah
(Mzuri mama, mzuri mama)

Piga dansi kidogo,
Piga da, piga Dansi kidogo,
Dansi kidogo,
Piga da, piga dansi kidogo.
Dansi kidogo,
Piga da, piga dansi kidogo.
Dansi kidogo...

Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, Aaah,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Sura yako mzuri mama, Aaah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
(Mzuri mama, mzuri mama, aaah)
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)

Piga dansi kidogo,
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na figure yako kama ya chupa, ah
(Mzuri mama, mzuri mama, mzuri mama)
Na tabasamu lako maua, ah
(Mzuri mama, mzuri mama)
Ni wewe ni we
Ni wewe ni we
Ni wewe ni we
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Joel Laslett Pott, George Barnett
Copyright: Lyrics © BMG Rights Management

Back to: Sauti Sol



Sauti Sol - Sura Yako Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Sauti Sol
Length: 3:57
Written by: Joel Laslett Pott, George Barnett

Tags:
No tags yet