Back to Top

Sos - Niangalie Lyrics



Sos - Niangalie Lyrics
Official




Na na na na na na
Eee ee eeee
Na na na na na na
Eee ee eeee
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Nataka kuishi kwa njia zako bwana
Nifinyange mimi hadi ninyoke
Halafu baraka zako naziwe nami
Siku zote nitaishi kwa amani
Nataka kuishi kwa njia zako bwana
Nifinyange mimi hadi ninyoke
Halafu baraka zako naziwe nami
Siku zote nitaishi kwa amani
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Nimekutenda dhambi baba sijitenge nami
Kwako natumaini ewe baba nihifadhi
Kwa nguvu zangu kweli mimi sijiwezi
Bwana Yesu ni nguvu ya maisha yangu ee eee
Ninapigwa vita mimi
Mimi nina jua kwamba wewe ulishinda vita
Vita vita
Kwa mwanadamu sitegemei noo
Sasa naweka tumaini langu kwako
Maana najua kwako sita aibika no noo
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Na inua
Macho yangu
Ni tazame milima a aaa
Msaada wangu
Watoka wapi
Ni kwako
Bwana
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Ooo
Ooooooo
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

Na na na na na na
Eee ee eeee
Na na na na na na
Eee ee eeee
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Nataka kuishi kwa njia zako bwana
Nifinyange mimi hadi ninyoke
Halafu baraka zako naziwe nami
Siku zote nitaishi kwa amani
Nataka kuishi kwa njia zako bwana
Nifinyange mimi hadi ninyoke
Halafu baraka zako naziwe nami
Siku zote nitaishi kwa amani
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Nimekutenda dhambi baba sijitenge nami
Kwako natumaini ewe baba nihifadhi
Kwa nguvu zangu kweli mimi sijiwezi
Bwana Yesu ni nguvu ya maisha yangu ee eee
Ninapigwa vita mimi
Mimi nina jua kwamba wewe ulishinda vita
Vita vita
Kwa mwanadamu sitegemei noo
Sasa naweka tumaini langu kwako
Maana najua kwako sita aibika no noo
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Na inua
Macho yangu
Ni tazame milima a aaa
Msaada wangu
Watoka wapi
Ni kwako
Bwana
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Maana wewe unanipenda
Ninapoenda kombo uninyoshe
Maana wewe unanijali
Ninapo kuomba baba unisikie
Maana wewe ni mwaminifu
Niangalie ewe bwana
Ooo
Ooooooo
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Damaris Midecha, Moses Ouma
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid

Back to: Sos



Sos - Niangalie Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Sos
Language: English
Length: 3:40
Written by: Damaris Midecha, Moses Ouma

Tags:
No tags yet